NI MLIPUKO MKUBWA WA INJILI JIJINI MWANZA, USIKOSE!

Share it:

Karibu kwenye mkutano huu mkubwa wa Injili uliondaliwa na kanisa la EAGT Lumala Mpya Jijini Mwanza. Mchungaji Dkt.Daniel Moses Kulola atakuwa mwenyeji wa Mchungaji Mathias Roggers kutoka Marekani pamoja na waimbaji mbalimbali. Usikose!
Share it:

JOEL MADUKA

MATANGAZO

Post A Comment:

Also Read

HABARI KUBWA KWENYE MAGAZETI YA LEO JUMANNE APRILI 24, 2018

JOEL MADUKA