DC MTATURU AFUNGUA MKUTANO JUU YA MAOMBI YA KUREKEBISHA BEI ZA HUDUMA YA MAJI WILAYANI MANYONI

Share it:

Mgeni Rasmi-Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Manyoni ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Mhe Miraji Jumanne Mtaturu akizungumza wakati wa ufungua  wa Mkutano wa wadau na wateja wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira

Baadhi ya wadau na wateja wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira wakifatilia Mkutano

Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Manyoni ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Mhe Miraji Jumanne Mtaturu akizungumza wakati wa ufungua  wa Mkutano wa wadau na wateja wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira. (Picha Zote Na Mathias Canal)
<!--[if gte mso 9]>
Share it:

JOEL MADUKA

HABARI PICHA

Post A Comment:

Also Read

JUMIA KUWAWEZESHA WATANZANIA KUMILIKI SIMU ZA KISASA KWA BEI NAFUU

Yapunguza bei za simu mpaka 60%! Mteja kuunganishwa na kifurushi cha internet ya bure kutoka Tigo mpaka GB 18 

JOEL MADUKA