Baadhi ya vifaa tiba ambavyo vimetolewa kwenye hospitali ya Wilaya ya Chato Mkoani Geita ambavyo vitaweza kuwasaidia watoto ambao wanakuwa bado hawajafikia muda wa kuzaliwa. |
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Chato,Dkt. Ligobert Kalasa akitoa maelezo ya namna ambavyo mashine hizo zinatumika. |
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Afya), Dkt. Mpoki Ulisubisya akitoa maelezo juu ya kitanda cha wagonjwa ambacho kilikuwa nje ya hospital. |
Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia akimsalimia mmoja wa watoto waliozaliwa katika Hospitali ya Chato, Mkoani Geita leo. |
Post A Comment: