BASI LA HOOD LA MBEYA - ARUSHA LAGONGA PIKIPIKI,LAUA NA KUJERUHI

Share it:

Mtu mmoja amefariki na watano kujeruhiwa baada ya basi la Hood T477 AXV, kugonga Pikipiki na kupinduka katika eneo la Mambungo.

Chanzo cha ajali hiyo ni mwendesha pikipiki kuhamia ghafla upande wa kulia akitaka kuingia katika kituo cha mafuta

Share it:

JOEL MADUKA

matukio

Post A Comment:

Also Read

KAMATI YA SIASA NYANG'HWALE YAPONGEZA USIMAMIZI WA MIRADI YA SERIKALI KUU

Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Nyang’hwale, mkoani Geita, imekagua na kupongeza utekelezaji wa miradi mbalimbali inayofadh

JOEL MADUKA