Breaking News!! BASI LA NEW FORCE LAPATA AJALI

Share it:






















Taarifa tulizozipata hivi punde leo Jumatatu,Septemba 19,2016 ni kwambaBasi la New Force limepata ajali mkoa wa Njombe muda si mrefu na watu kadhaa wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa.

RPC anaendelea kutoa huduma katika tukio hajatoa taarifa rasmi.
Share it:

JOEL MADUKA

matukio

Post A Comment:

Also Read

WAFANYABIASHARA SOKO LA NYANKUMBU WALALAMIKIA KUJAA KWA CHOO CHAO

Sehemu ya mfuniko wa choo ikiwa imejaa na kusababisha maji machafu kutoka nje kwenye Soko la Nyankumbu Mjini Geita.

JOEL MADUKA