MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI NCHINI TANZANIA PENDO KIHAYILE AMTAMBULISHA MCHUMBA WAKE KWENYE IBADA YA KANISA LA EAGT MITO YA BARAKA

Share it:
Kushoto ni Pendo Kihayile na Kulia ni  Geoffrey Charles wakiwa kwenye ibada ya kubariki uchumba wao katika kanisa la EAGT Mito ya  Baraka jijini  Dar es salaam chini ya mchungaji kiongozi Mchungaji Bruno mwakibolwa.

Shangwee zikiendelea kwa kishindo na msisimko.

Uwimbaji ni sehemu ya maisha kwa mwimbaji hapa Bi,Pendo Kihayile akiongoza ibada ya kuabudu 



Pendo Kihayile na Geoffrey Charles wakiwa kwenye picha ya pozi..






Self kama kawaida zilizusika zaidi.




Juma pili ya tarehe 26 mwezi march Mwimbaji wa nyimbo za injili anayetokea jijini Mwanza Kwenye kundi la Kihayile Pendo Kihayile alimtambulisha Mchumba wake na mume wake mtarajiwa Bw ,Geoffrey Charles kwenye kanisa la EAGT MITO YA BARAKA Jijini Dar es salaam.

Maduka online inawatakia maadalizi mema ya Ndoa yenu na kila hatua ambayo itaendelea .

IMEANDALIWA NA MADUKA ONLINE.
Share it:

JOEL MADUKA

HABARI PICHA

Post A Comment:

Also Read

APIGWA RISASI MAKALIONI AKITUHUMIWA KWA UTEKAJI WA WATU GEITA

Kamanda wa Polisi Mkoani Geita,Mponjoli Mwabulambo akizungumza na waandishi wa habari juu ya matukio mbali mbali ambay

JOEL MADUKA