PLAN INTERNATIONAL GEITA YAKABIDHI ZAWADI MBALI MBALI KWA WATOTO WALIOFANYA VIZURI UANDISHI WA BARUA .

Share it:
Meneja wa Plan Mkoani Geita,Baraka Mgohamwende akimkabidhi Zawadi moja kati ya mtoto aliyefanya vizuri kwenye mashindano ya kuandika Barua.
Mratibu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Ufadhili Plan Geita ,Imani Mgohamwende akielezea juu ya kuwatambua baadhi ya watoto ambao wamefanya vizuri kwenye mashindano ya uandishi wa barua.

Meneja wa Plan Mkoani Geita,Baraka Mgohamwende  akielezea dhumuni la kutoa zawadi kwa washindi.


Moja Kati ya vijana ambao ameshinda uandishi wa Barua akionesha moja kati ya zawadi ambazo amepatiwa na Plan.


Mzee  Shedrack Mashamba akikabidhiwa Chati cha Pongezi kutokana na kujitolea kwenye maswala ya Plan kwenye kata ya Nyang'uku na  Meneja wa Plan Mkoani Geita,Baraka Mgohamwende .

Mzee Juma Maheka akikabidhiwa chati cha utambuzi na   Meneja wa Plan Mkoani Geita,Baraka Mgohamwende .


Picha na Maduka Online.
Share it:

JOEL MADUKA

HABARI PICHA

Post A Comment:

Also Read

HABARI KUBWA KWENYE MAGAZETI YA LEO JUMATANO APRILI 11, 2018.

JOEL MADUKA