HALI YA UPATIKANAJI WA DAWA KATIKA VITUO VYA AFYA MWANZA

Share it:
Binagi Media Group
Serikali mkoani Mwanza imejizatiti vyema kuhakikisha kwamba hali ya upatikanaji wa dawa katika vituo vya afya, zahanati pamoja na hospitali inatosheleza mahitaji wa wananchi.

Mganga Mkuu mkoani Mwanza, Dkt.Leonard Subi amesema hali ya upatikanaji wa dawa za msingi mkoani humo ni zaidi ya asilimia 95 na kwamba zinatosheleza uhitaji uliopo.
Share it:

JOEL MADUKA

habari

Post A Comment:

Also Read

UVCCM GEITA YAWAKUTANISHA WATU WENYE ULEMAVU WANAWAKE NA VIJANA KUJADILI ASILIMIA 10 ZINAZOTOLEWA NA HALMASHAURI

Wajumbe wa mkutano ambao ulikuwa umelenga kutoa ufafanuzi juu ya asilimi 10 ambazo zinatolewa na halmashauri kwa wanaw

JOEL MADUKA