TIMU YA WAANDISHI WA HABARI WA MKOANI IRINGA (IMFC) YAINGIA KAMBINI

Share it:

 

TIMU ya waandishi wa habari wa mkoani Iringa  imeingia kambini kujiwinda na mchezo wa fainal kati ya bingwa wa mashindano ya Spanest cup,mchezo huo utacheza katika uwanja wa Hifadhi ya Ruaha.
 
Wakizungumza na blog hii viongozi wa timu hiyo  walisema wapo tayari kukabiliana na timu ya Itunundu maarufu kama sukari ya warembo.

Timu hii ya waandishi haijawahi kufungwa katika fainali yoyote ile hivyo Itunundu wajipange
Share it:

JOEL MADUKA

michezo

Post A Comment:

Also Read

MKUCHIKA: KAZI YA USALAMA WA TAIFA SI KUFUATILIA WAHALIFU WALA KUKAMATA WATU

Waziri wa Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Mkuchika amesema kazi kubwa ya usalama wa taifa ni

JOEL MADUKA