UJENZI WA MABWENI YA WASICHANA NI SURUHISHO LA MATATIZO

Share it:
Mwishoni mwa mwaka 2016 Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan alizindua mabweni ya kisasa ya wasichana katika shule ya sekondari Idetemya iliyopo wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza.
Mabweni hayo yalijengwa na shirika la ASAP (Africa School Asistance Project) kutoka Marekani linalosaidia maendeleo ya elimu barani Afrika kupitia mradi wake wa Kupanda wenye lengo la kuhakikisha mazingira ya shule yanaboreshwa hususani kwa wanafunzi wa kike ili waweze kupata fursa ya kumaliza elimu.
Ungana nasi ili kujionea mabweni hayo mwanzo hadi mwisho na pia namna yalivyosaidia kuleta mabadiliko ya ufaulu katika shule hiyo ya Idetemya hususani kwenye ufaulu wa wanafunzi wa kike katika matokeo ya kidato cha nne.
Share it:

JOEL MADUKA

VIDEO NA MADUKA ONLINE

Post A Comment:

Also Read

JESHI LA POLISI MKOA WA GEITA LIPO IMARA KUDHIBITI UHALIFU NA MAANDAMANO APRILI 26

Jeshi  la polisi mkoani Geita , limewataka  wananchi  katika kuelekea   siku kuu ya pasaka

JOEL MADUKA