WAZIRI MKUU MAJALIWA AZINDUA MBIO ZA MWENGE MKOANI GEITA.

Share it:
Waziri Mkuu wa Tanzanja Mh,Kassim Majaliwa akiwasha Mwenge wa Uhuru pamoja na Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Mheshimiwa Jensita Mhagama.Kwenye viwanja vya Magogo Mjini Geita.

Baadhi ya viongozi wa chama na serikali wakifuatilia zoezi la uznduzi wa Mwenge wa uhuru.

Waziri Mkuu,Mheshimiwa Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi pamoja na Kamati ya Ulinzi na usalama ya Mkoa wa Geita.

Waziri Mkuu,Mheshimiwa Kassim Majaliwa Akiwahutubia wananchi ambao walijitokeza kwenye shughuli ya kuwashwa kwa mwenge.

Waziri Mkuu,Mheshimiwa Kassim Majaliwa ,Akisalimiana na Kiongozi Mkuu wa mbio za Mwenge Kitaifa,Bw ,Charles Francis Kabeho.

Picha na Joel Maduka

Share it:

JOEL MADUKA

HABARI PICHA

Post A Comment:

Also Read

HABARI KUBWA KWENYE MAGAZETI YA LEO JUMATATU 21 MAY 2018

JOEL MADUKA