Mwalimu ahukumiwa kwa ubadhirifu

Share it:



Mahakama ya Hakimu Mkazi  Geita imemtia hatiani na kumhukumu kifungo cha miaka miwili mwalimu wa Shule ya Sekondari Msalala, Henry Tagata kwa kosa lakuisababishia Serikali hasara ya zaidi ya  Sh9 milioni.

Akisoma hukumu hiyo mbele ya waendesha mashitaka wa Takukuru,  Kelvin Mrusuri akisaidiana na Agustino Mtaki, hakimu Ushindi Swalo alisema kufuatia ushahidi uliotolewa mahakamani hapo na waendesha mashitaka wa Takukuru umethibitisha pasipo shaka kuwa mshitakiwa  alitenda kosa hilo.

Share it:

JOEL MADUKA

Post A Comment:

Also Read

JESHI LA POLISI MKOA WA GEITA LIPO IMARA KUDHIBITI UHALIFU NA MAANDAMANO APRILI 26

Jeshi  la polisi mkoani Geita , limewataka  wananchi  katika kuelekea   siku kuu ya pasaka

JOEL MADUKA