Akimwakilisha mkuu wa wilaya ya Geita Herman Kapufi,katibu tawala wa wilaya Thomas Dimme akitoa neone la kwa wajasilia mali. |
| Peter Kingu ni mkuu wa kitengo cha wajasilia mali mfuko wa kuendeleza sekta ya fedha (FSDT)akimkuaribisha mgeni rasimi kuongea na wajasilia |
| Akifafanua jambo na waandishi wa habari. |
| Methew Masele ambae ni mwakilishi wa katibu tawala wa mkoa wa Geita,akizungumzia furusa zilizopo Mkoani Geita. |
| Meneja Mradi wa TPSF Celestine Mkama,akitoa maelekezo kwa wanasemina |
| Denis Kisoka mkufunzi mkuu wa mafunzo ya wajasilia mali ,akielezea njia tatu za namna ya kuinua kipato na mtaji. |
Elizabeth Bigambo mjasilia mali wa mgahawa,akichangia mawazo ya namna ya kuinua kipato.
|
| wajasilia mali wakifatilia kwa makini mafunzo. |

Post A Comment: