WATUHUMIWA KWA KUMBAKA BIBI KIZEE.

Share it:








KARAGWE,Wakazi Watatu Wa Kijiji Cha Rugela Kata Ya Rugela Wilaya Ya Karagwe Mkoani Kagera Ambao Ni  Finias Alexanda (28) Eliudi Onesmo (23) Na Simioni Selestine (35)Wamefikishwa Katika Mahakama Ya Wilaya Hiyo Kwa Tuhuma Za Kubaka Bibi Kizee (62).


Akisoma Shitaka Hilo Mbele Ya Hakim Wa Mahakama Hiyo Victor Bigambo  Mwendesha Mashitaka Wa Jeshi La Polisi Zena Waziri Amesema Kuwa Watuhumiwa Walitenda Kosa Hilo Agast 26,2016 Majira Ya Saa Nne Siku.                        

Aidha Watuhumiwa Wamekana Kosa Linalowakabili Na Wamerudishwa Lumande Hadi Kesi Hiyo Itakaposikilizwa Tena Mahakamani Hapo.

Hata Hivyo Bibi Huyo Amelazwa Katika Hospitali Ya Nyakahanga Wilaya Ya Karagwe Kutokana Na Maumivu Waliyo Msababishia Na Huku Upelelezi Ukiendelea.

Imeandaliwa na Emmanuel Julius.

Share it:

matukio

Post A Comment: