MWENGE WA UHURU WAANZA KUTIMUA MBIO ZAKE MKOANI GEITA UKITOKEA MKOANI KAGERA

Share it:
Mwenge wa uhuru ukiwaks wakati ulipokuwa unakabidhiwa Mkoani Geita.

Burudani kutoka Mkoani Kagera zikiendelea wakati wa kusubili Mwenge Kuingia Mkoani Geita.

Mkuu wa Mkoa wa Geita Meja Jenerali Mstaafu,Ezekiel Kyunga akiongozana na Wilaya ya Nyang'hwale  . Hamim Gwiyama  wakati alipokuwa akisalimiana na baadhi ya viongozi Kutoka Mkoani Kagera.

Mchezo wa Ngoma ukiendelea kwenye viwanja vya Kijiji cha Mkolani Kata ya Bwongera wakati wa kusubilia Mwenge kukabidhiwa Mkoani Geita.


Mwenge ukiingia kwenye viwanja vya mapokezi Wilayani Chato Mkoani Geita.

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salim Mustafa Kijuu akitoa taarifa ya shughuli  za mwenge ambazo zimefanyika katika kipindi cha Siku nane kwenye Mkoa wake. 

Wananchi wakifuatilia zoezi la ukabidhiwaji wa mwenge wa uhuru.

Mkuu wa Mkoa wa Geita Meja Jenerali Mstaafu,Ezekiel Kyunga  akipokea mwenge Kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salim Mustafa Kijuu  wakati wa shughuli za Makabidhiano 

Mkuu wa Mkoa wa Geita Meja Jenerali Mstaafu,Ezekiel Kyunga  Akisoma taarifa ya Mbio za Mwenge Mkoani Humo ambazo zinakusudia  kuzindua na kuweka mawe ya msingi ni miradi yenye thamani bilioni ishirini na saba mia moja tisini milioni mia tisa arobaini na tisa elfu mia sita ishirini na sita na sent moja.

Mkuu wa Mkoa wa Geita Meja Jenerali Mstaafu,Ezekiel Kyunga akiwa na Kiongozi wa Mbio za mwenge Kitaifa,Amour Hamad Amour wakati alipokuwa akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Chato Mwenge ambao umeanzia Wilayani Kwake.


Kiongozi wa Mbio za mwenge Kitaifa,Amour Hamad Amour akizundua Klabu ya wananfunzi ya kupinga maambukizi ya virusi vya Ukimwi









Share it:

HABARI PICHA

Post A Comment: