| Bango likiwa linasomeka uzinduzi wa mradi wa kuzuia ndoa za utotoni wilayani Geita,huku likiwa na kauli mbiu isemayo wezesha mtoto wa kike zuia ndoa za utotoni. |
| Maandamano ya siku ya mtoto wa kike wakiwa barabarani kuelekea ukumbi wa halmashauri ya mji wa Geita |
| Mkuu wa wilaya ya Geita,Herman Kapufi akipokea maandamano hayo pamoja na katibu wa wilaya ya Geita Thomas Dimme. |
| Wanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana waja ,wakiimba nyimbo maalum kwaajili ya siku ya mtoto wa kike. |
| Baadhi ya wanananchi wakifatilia kile ambacho kilikuwa kikiendelea katika maadhimisho hayo. |
| Kaimu Mwenyekiti wa halmashauri ya mji wa Geita,Suzan Mashala akielezea namna ambavyo mtoto wa kike alivyo na mchango mkubwa katika jamii . |
| Kwaya ya shule ya sekondari Advetista Mkoani Geita Wakitumbuiza katika maadhimisho ya mtoto wa kike. |
| Mkurugenzi wa NELICO shirika linalojihusisha na utetezi wa watoto Paulina Alex akielezea lengo la kuwepo kwa siku ya mtoto wa kike. |
| Wananchi wakiendelea kusikiliza na kufatilia kile ambacho kilikuwa kikiendelea katika ukumbi wa halmashauri ya mji wa Geita. |
| Wanafunzi wa shule ya msingi Kalangalala wakionesha igizo . |
| Onery Nery aliyevaa ngauni la kitenge na Rebeca Manase wanatoka dawati la jinsia wakielezea kesi ambazo zimekwisha kufikishwa katika dawati hilo. |
| Mfano wa kamba iliyowazunguka mabinti ni kati ya changamoto lukuki ambazo zinawazunguka watoto wa kike katika jamii wanazotokea. |
| Mkuu wa wilaya ya Geita ,Herman Kapufi akitoa hotuba mbele ya wanafunzi na wananchi waliokuwa wameuzulia katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike Duniani. |

Post A Comment: